EU na Marekani walielezea wasiwasi wao wiki hii kufuatia kukamatwa kwa waandishi, wachambuzi wa kisiasa na wanasheria.
Baraza la Katiba lililotangaza ushindi huo pia lilikataa ombi lililotolewa na Waziri Mkuu Succes Masra la kutaka kufutwa matokeo hayo.
Rais Zelenskyy alisafiri Alhamisi kwenda Kharkiv kukutana na maafisa wa kijeshi huku mashambulizi ya Russia yakifanyika katika mkoa huo.
Hii itaashiria mabadiliko ya haraka kuliko kesi nyingi zilizo katika mfumo wa uhamiaji Marekani zinazochukua muda mrefu
Balozi wa Afrika Kusini nchini Uholanzi amelisihi jopo la majaji 15 wa kimataifa kuiamuru Israel iondoke bila masharti huko Gaza.
Vikosi vya Israel mapema mwezi huu vilichukua udhibiti wa upande wa Gaza wa mpaka wa Rafah na Misri.
Niger ambayo haina bahari mwaka jana ilizindua bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka kwenye kinu chake kupitia CNPC.
Idadi kubwa ya wapiga kura vijana katika uchaguzi wa rais Marekani wanasema wanatamani wangekuwa na mtu mwingine na siyo Joe Biden au Donald Trump kumchagua.
Tangazo hilo linakuja wakati wanajeshi wa Ukraine wakirejea kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kufuatia mapigano
Timu ya wataalamu 19 wa afya wakiwemo Wamarekani 10 imekataliwa kuondoka Gaza baada ya kutoa huduma za matibabu
Gallant alisema ninatoa wito kwa Benjamin Netanyahu kufanya uamuzi na kutangaza Israel haitaanzisha udhibiti wa raia Ukanda wa Gaza
Rasoulof alitoroka Iran baada ya kubainika amehukumiwa kifungo cha miaka minane kwa kuvujisha taarifa za usalama wa taifa.
Pandisha zaidi